Mlyuka Last Born

Mlyuka Last Born

Thursday, September 22, 2011

Andy Carrol Bado Anahitaji Uzoefu Wakutosha

Newcastle Boss Alan Pardew amesema mchezaji huyo bado ananafasi  ya kuleta mabadiliko katika timu yake  Liverpool,alichokikosa sasa ni uzoefu tu na wachezaji wenzie katika timu hiyo, Andy Carrol amezifumania nyavu mara moja tu tangu msimu wa ligi ulipoanza akiwa anacheza nafasi ya mshambuliaji wa mwisho

BOB BRADLEY SASA NI KOCHA MPYA EGYPT

MORO NDO KILA KI2 BANA

                                          "Ata siku nikifa maiti yanGu iende Moro......"

ANTI VIRUS VOL 2 HII APA BUREEEEEEEEE!

Wapo Rama D,Sogg Dogg,Mkoloni,Dani Msimamo,Mapacha,Mh.Mbunge wa Mbeya mjini Na wakali wengine kibao.

MI MSIMBAZ DAMU BANA


                                           Tunavyojua kuujaza uwanja wew acha2
                                         Siku zoTe shabiki wa kweli lzma ende kuipa Taf timu yake

They cAll me Snake BOY

                                                                 I w'l neVer 4get dis